12Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?
15 Na sasa tunawatangaza watu wenye kimbelembele kuwa wenye furaha.+ Pia, watendaji wa uovu wamejengwa.+ Wao pia wamemjaribu Mungu nao huendelea kuponyoka.’ ”+