Zaburi 52:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Isaya 65:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake; hawatapanda na mtu mwingine ale. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti;+ na watu wangu waliochaguliwa wataitumia kazi ya mikono yao wenyewe kikamilifu.+ Hosea 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Matawi yake yatasambaa, na utukufu wake utakuwa kama ule wa mzeituni,+ na harufu yake nzuri itakuwa kama ile ya mti wa Lebanoni.
8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake; hawatapanda na mtu mwingine ale. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti;+ na watu wangu waliochaguliwa wataitumia kazi ya mikono yao wenyewe kikamilifu.+
6 Matawi yake yatasambaa, na utukufu wake utakuwa kama ule wa mzeituni,+ na harufu yake nzuri itakuwa kama ile ya mti wa Lebanoni.