Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Yehova akasema: “Ninasamehe kulingana na neno lako.+

  • Zaburi 78:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+

      Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+

      Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote.

  • Yeremia 46:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,’ asema Yehova, ‘kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Kwa maana nitafanya maangamizi kati ya mataifa yote ambako nimekutawanya huko,+ lakini wewe sitakuangamiza.+ Hata hivyo, nitakutia adabu kwa kiwango kinachofaa,+ nami sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.’”+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki