23 Na ikawa kwamba wakati wa siku hizo nyingi, mwishowe mfalme wa Misri akafa,+ lakini wana wa Israeli wakaendelea kuugua kwa sababu ya utumwa na kulia kwa kulalamika,+ nacho kilio chao cha kuomba msaada kikaendelea kupaa juu kwa Mungu wa kweli kwa sababu ya utumwa huo.+
16 “Karibu wakati kama huu kesho nitatuma mtu kwako kutoka katika nchi ya Benyamini,+ nawe umtie mafuta+ awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli; naye atawaokoa watu wangu kutoka mkononi mwa Wafilisti,+ kwa sababu nimeona mateso ya watu wangu, kwa maana kilio chao kimenifikia.”+