Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+

  • Mwanzo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+

  • Mwanzo 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akaanza kunusa harufu ya kutuliza,+ na kwa hiyo Yehova akasema moyoni mwake:+ “Sitailaani nchi+ tena kamwe kwa sababu ya mwanadamu, kwani mwelekeo+ wa moyo wa mwanadamu ni mbaya tangu ujana wake na kuendelea;+ nami sitakipiga tena kamwe kila kitu chenye uhai kama vile nilivyofanya.+

  • Ayubu 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tafadhali, kumbuka kwamba umenifanyiza kutoka katika udongo+

      Nawe utanifanya nirudi katika mavumbi.+

  • Mhubiri 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+

  • Isaya 64:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki