Zaburi 139:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kama ningejaribu kuyahesabu, ni mengi kuliko hata chembe za mchanga.+Nimeamka, na bado niko pamoja nawe.+ Matendo 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana Daudi anasema juu yake, ‘Yehova alikuwa mbele ya macho yangu daima; kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume ili nisipate kutikiswa kamwe.+
18 Kama ningejaribu kuyahesabu, ni mengi kuliko hata chembe za mchanga.+Nimeamka, na bado niko pamoja nawe.+
25 Kwa maana Daudi anasema juu yake, ‘Yehova alikuwa mbele ya macho yangu daima; kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume ili nisipate kutikiswa kamwe.+