1 Mambo ya Nyakati 16:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema,+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 118:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 118 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ Luka 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+
34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema,+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
118 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+