Mathayo 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+ Marko 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema?+ Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+
17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+