Zaburi 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+ Zaburi 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova na akujibu siku ya taabu.+Jina la Mungu wa Yakobo na likulinde.+
6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+