1 Samweli 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wanaume wenye nguvu wanaopiga upinde wamejawa na woga,+Lakini wale wanaojikwaa hujizungusha nguvu katika viuno.+ 2 Samweli 22:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nawe utanifunga mshipi wa nguvu kwa ajili ya vita;+Utawaangusha chini yangu wale wanaoniinukia.+ Zaburi 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mungu wa kweli Ndiye anayenifunga sana mshipi wa nguvu,+Naye ataifanya njia yangu kuwa kamilifu,+ Zaburi 84:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wataendelea kutembea kutoka nguvu hata nguvu;+Kila mmoja huonekana mbele za Mungu katika Sayuni.+ Isaya 40:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yeye anampa nguvu mtu aliyechoka;+ naye huzijaza nguvu kamili kwa mtu asiye na nguvu zenye msukumo.+ 2 Wakorintho 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+ Wafilipi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yeye anayenipa nguvu.+
4 Wanaume wenye nguvu wanaopiga upinde wamejawa na woga,+Lakini wale wanaojikwaa hujizungusha nguvu katika viuno.+
29 Yeye anampa nguvu mtu aliyechoka;+ naye huzijaza nguvu kamili kwa mtu asiye na nguvu zenye msukumo.+
7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+