Zaburi 111:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Utendaji+ wake ni utukufu na fahari,+ ו [Waw]Na uadilifu wake unasimama milele.+ Isaya 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana nondo atawala wao kana kwamba ni vazi, na nondo wa nguo atawala wao kana kwamba ni sufu.+ Lakini kuhusu uadilifu wangu, utakuwa ni wa mpaka wakati usio na kipimo, na wokovu wangu mpaka vizazi visivyo na hesabu.”+
17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+
8 Kwa maana nondo atawala wao kana kwamba ni vazi, na nondo wa nguo atawala wao kana kwamba ni sufu.+ Lakini kuhusu uadilifu wangu, utakuwa ni wa mpaka wakati usio na kipimo, na wokovu wangu mpaka vizazi visivyo na hesabu.”+