Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 111:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Utendaji+ wake ni utukufu na fahari,+

      ו [Waw]

      Na uadilifu wake unasimama milele.+

  • Isaya 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 51:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana nondo atawala wao kana kwamba ni vazi, na nondo wa nguo atawala wao kana kwamba ni sufu.+ Lakini kuhusu uadilifu wangu, utakuwa ni wa mpaka wakati usio na kipimo, na wokovu wangu mpaka vizazi visivyo na hesabu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki