29 Wakati mwanadamu atakaposimama ili kukufuatilia na kuitafuta nafsi yako, nafsi ya bwana wangu itakuwa imefungwa katika mfuko wa uzima+ pamoja na Yehova Mungu wako;+ lakini nafsi ya adui zako yeye ataitupa mbali kama kutoka ndani ya tundu la kombeo.+
12 Basi Yehova akamwambia Shetani: “Tazama! Kila kitu alicho nacho kimo mkononi mwako. Ila tu usinyooshe mkono wako juu yake mwenyewe!” Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova.+
8 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Baada ya utukufu+ amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi;+ kwa maana yeye anayewagusa ninyi+ anaigusa mboni ya jicho langu.+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+