Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wakati mwanadamu atakaposimama ili kukufuatilia na kuitafuta nafsi yako, nafsi ya bwana wangu itakuwa imefungwa katika mfuko wa uzima+ pamoja na Yehova Mungu wako;+ lakini nafsi ya adui zako yeye ataitupa mbali kama kutoka ndani ya tundu la kombeo.+

  • Ayubu 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi Yehova akamwambia Shetani: “Tazama! Kila kitu alicho nacho kimo mkononi mwako. Ila tu usinyooshe mkono wako juu yake mwenyewe!” Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova.+

  • Zaburi 50:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Wakusanye kwangu washikamanifu wangu,+

      Wale wanaofanya agano langu juu ya dhabihu.”+

  • Zaburi 72:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,

      Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+

  • Zaburi 91:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+

      Mimi nitamwokoa pia.+

      Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+

  • Zekaria 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Baada ya utukufu+ amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi;+ kwa maana yeye anayewagusa ninyi+ anaigusa mboni ya jicho langu.+

  • 2 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki