1 Wafalme 8:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 ili aelekeze moyo wetu+ kwake ili tutembee katika njia zake zote+ na kushika amri+ zake na masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu,+ ambayo aliwaamuru mababu zetu. Zaburi 119:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Unifundishe, Ee Yehova, njia ya masharti yako,+Ili nipate kuishika hata ile ya mwisho.+ Zaburi 119:124 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 124 Mtendee mtumishi wako kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Na unifundishe masharti yako mwenyewe.+
58 ili aelekeze moyo wetu+ kwake ili tutembee katika njia zake zote+ na kushika amri+ zake na masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu,+ ambayo aliwaamuru mababu zetu.
124 Mtendee mtumishi wako kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Na unifundishe masharti yako mwenyewe.+