Zaburi 69:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+ Zaburi 103:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+Ndivyo fadhili zake zenye upendo zilivyo kuu kuwaelekea wale wanaomwogopa.+ Luka 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+
16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+
11 Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+Ndivyo fadhili zake zenye upendo zilivyo kuu kuwaelekea wale wanaomwogopa.+
13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+