Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+ Mathayo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini akajibu na kusema: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’ ”+
4 Lakini akajibu na kusema: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’ ”+