Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri.

  • Zaburi 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.

      Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+

  • Zaburi 119:142
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 142 Uadilifu wako ni uadilifu wa mpaka wakati usio na kipimo,+

      Na sheria yako ni kweli.+

  • Yohana 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+

  • 1 Petro 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki