Zaburi 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye atajitayarishia silaha za kifo;+Mishale yake ataifanya kuwa yenye kuwaka moto.+ Zaburi 59:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tazama! Wanaropoka kwa kinywa chao;+Panga ziko midomoni mwao,+Kwa maana ni nani anayesikiliza?+ Zaburi 64:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+ Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+