Zaburi 113:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Jina la Yehova na libarikiwe+Kutoka sasa mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 115:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini sisi wenyewe tutambariki Yah+Kutoka sasa mpaka wakati usio na kipimo.+Msifuni Yah!+