Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikawa kwamba, mara tu adui zetu+ waliposikia jambo hilo na mataifa yote yaliyotuzunguka kuona jambo hilo, mara moja wakaona aibu sana machoni pao wenyewe, nao wakatambua kwamba kazi hii ilifanywa kutokana na msaada wa Mungu wetu.+

  • Esta 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Halafu Hamani akamsimulia Zereshi+ mke wake na rafiki zake wote juu ya mambo yote yaliyompata. Ndipo watu wake wenye hekima+ na Zereshi mke wake wakamwambia: “Ikiwa Mordekai, ambaye umeanza kuanguka mbele yake, anatoka katika uzao wa Wayahudi, wewe hutamshinda, bali bila shaka utaanguka mbele yake.”+

  • Esta 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Wayahudi wakawapiga adui zao wote kwa mauaji ya upanga,+ wakawaua na kuwaangamiza, nao wakawatendea walivyotaka wale waliowachukia.+

  • Isaya 37:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+

      Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+

      Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+

  • Zekaria 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na itatukia katika siku hiyo+ kwamba nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe+ lenye kulemea vikundi vyote vya watu. Wale wote wanaoliinua bila shaka watajitia mikwaruzo mikali; na mataifa yote ya dunia hakika yatakusanyika+ kupigana naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki