5 Na wewe unaendelea kujitafutia makuu.+ Usiendelee kuyatafuta.”’+
“‘Kwa maana, tazama, ninaleta msiba juu ya wote wenye mwili,’+ asema Yehova, ‘nami nitakupa wewe nafsi yako kuwa nyara katika mahali pote utakapoenda.’”+
16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+