Zaburi 115:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini sisi wenyewe tutambariki Yah+Kutoka sasa mpaka wakati usio na kipimo.+Msifuni Yah!+ Isaya 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtegemeeni Yehova,+ kwa nyakati zote, kwa maana katika Yah Yehova kuna Mwamba+ wa mpaka nyakati zisizo na kipimo.
4 Mtegemeeni Yehova,+ kwa nyakati zote, kwa maana katika Yah Yehova kuna Mwamba+ wa mpaka nyakati zisizo na kipimo.