2 Samweli 22:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nawe utanifunga mshipi wa nguvu kwa ajili ya vita;+Utawaangusha chini yangu wale wanaoniinukia.+ Zaburi 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+ Zaburi 144:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+
5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+
2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+