Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nanyi mtakaa katika mwingilio wa hema la mkutano mchana na usiku kwa siku saba,+ nanyi mtashika kesha la lazima la Yehova,+ msije mkafa; kwa maana hivyo ndivyo nimeamriwa.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na hawa ndio waliokuwa waimbaji,+ vichwa vya upande wa baba vya Walawi katika vyumba vya kulia chakula,+ wale ambao hawakupangwa katika zamu;+ kwa maana walikuwa na wajibu wa kuwa kazini mchana na usiku.+

  • Zaburi 130:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nafsi yangu imemngojea Yehova+

      Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+

      Ambao wanaingojea asubuhi.+

  • Luka 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 naye sasa alikuwa mjane+ mwenye umri wa miaka 84), ambaye alikuwa hakosi kamwe kuwa katika hekalu, akitoa utumishi mtakatifu usiku na mchana+ kwa kufunga na dua.

  • Ufunuo 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndiyo sababu wako mbele+ ya kile kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu+ mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi juu ya kiti cha ufalme+ atatandaza hema+ lake juu yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki