Zaburi 113:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 113 Msifuni Yah!+Toeni sifa, enyi watumishi wa Yehova,+Lisifuni jina la Yehova.+ Ufunuo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+
5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+