Zaburi 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kutoka mbinguni Yehova ametazama,+Amewaona wana wote wa binadamu.+ Zaburi 94:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova anazijua fikira za wanadamu, kwamba hizo ni kama pumzi.+ Ezekieli 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Na itatukia katika siku hiyo kwamba mambo yataingia moyoni mwako,+ nawe hakika utapanga hila yenye madhara;+ Mathayo 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Yesu, akijua fikira zao,+ akasema: “Kwa nini mnafikiri mambo maovu mioyoni mwenu?+
10 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Na itatukia katika siku hiyo kwamba mambo yataingia moyoni mwako,+ nawe hakika utapanga hila yenye madhara;+