Zaburi 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Unitunze kama mboni ya jicho,+Katika kivuli cha mabawa yako unifiche,+ Zaburi 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mguu wa majivuno usinijie;+Nao mkono wa watu waovu, usinifanye kuwa mtu wa kutanga-tanga.+ Zaburi 37:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Yehova hatamwacha mkononi mwa huyo,+Naye hatamtangaza kuwa mwovu anapohukumiwa.+