Zaburi 27:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usikie, Ee Yehova, ninapoita kwa sauti yangu,+Na unionyeshe kibali na kunijibu.+ Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+ Zaburi 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Utege sikio, Ee Mungu, kwa sala yangu;+Wala usijifiche kutoka kwa ombi langu la kutaka kibali.+
2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+