Kumbukumbu la Torati 33:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+ Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Zaburi 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni nguvu kwa watu wake,+Naye ni ngome ya wokovu mkuu wa mtiwa-mafuta wake.+
27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+