Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Wakati alipoangaza taa yake juu ya kichwa changu,

      Nilipotembea katikati ya giza kwa nuru yake;+

  • Zaburi 36:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana kwako wewe iko chemchemi ya uzima;+

      Kwa nuru inayotoka kwako sisi tunaweza kuona nuru.+

  • Zaburi 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tuma nuru yako na kweli yako.+

      Na hivyo vyenyewe viniongoze.+

      Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+

  • Zaburi 119:105
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,+

      Na nuru kwa barabara yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki