Ayubu 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati alipoangaza taa yake juu ya kichwa changu,Nilipotembea katikati ya giza kwa nuru yake;+ Zaburi 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwako wewe iko chemchemi ya uzima;+Kwa nuru inayotoka kwako sisi tunaweza kuona nuru.+ Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+ Zaburi 119:105 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,+Na nuru kwa barabara yangu.+
3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+