Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+ Zaburi 94:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+
18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+