Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+

  • Mathayo 27:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ameweka tegemeo lake katika Mungu; acheni Yeye sasa amwokoe+ ikiwa Yeye anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’ ”+

  • Waebrania 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na tena: “Tegemeo langu litakuwa katika yeye.”+ Na tena: “Tazama! mimi na watoto wachanga, ambao Yehova alinipa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki