Mwanzo 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawa na imani katika Yehova;+ naye akamhesabia kuwa ni uadilifu.+ Waebrania 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 ambao kupitia imani walishinda falme katika mapambano,+ wakatenda uadilifu,+ wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+
33 ambao kupitia imani walishinda falme katika mapambano,+ wakatenda uadilifu,+ wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+