Ezekieli 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Katika malisho mazuri nitawalisha wao, na makao yao yatakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika makao mazuri,+ na kwenye malisho manono watajilisha juu ya milima ya Israeli.” Mathayo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini akajibu na kusema: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’ ”+
14 Katika malisho mazuri nitawalisha wao, na makao yao yatakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika makao mazuri,+ na kwenye malisho manono watajilisha juu ya milima ya Israeli.”
4 Lakini akajibu na kusema: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’ ”+