Zaburi 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova, uniongoze katika uadilifu+ wako kwa sababu ya adui zangu;+Uifanye njia yako iwe laini mbele yangu.+ Zaburi 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu;+Nawe utaniongoza na kunielekeza+ kwa ajili ya jina lako.+ Methali 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mimi hutembea katika njia ya uadilifu,+ katikati ya barabara za hukumu,+
8 Ee Yehova, uniongoze katika uadilifu+ wako kwa sababu ya adui zangu;+Uifanye njia yako iwe laini mbele yangu.+
3 Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu;+Nawe utaniongoza na kunielekeza+ kwa ajili ya jina lako.+