1 Wafalme 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 ili macho yako yafunguliwe+ kuielekea nyumba hii usiku na mchana, kuelekea mahali ambapo ulisema hivi kupahusu, ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili kusikiliza sala ambayo mtumishi wako anatoa kuelekea mahali hapa.+ Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+ Zaburi 138:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+
29 ili macho yako yafunguliwe+ kuielekea nyumba hii usiku na mchana, kuelekea mahali ambapo ulisema hivi kupahusu, ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili kusikiliza sala ambayo mtumishi wako anatoa kuelekea mahali hapa.+
2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+
2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+