Ayubu 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na kumhusu Mweza-Yote, sisi hatujamjua;+Yeye ameinuliwa katika nguvu,+Naye hatapuuza+ haki+ na wingi wa uadilifu.+ Zaburi 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+ Zaburi 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Umependa uadilifu+ nawe unachukia uovu.+Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako,+ amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.+
23 Na kumhusu Mweza-Yote, sisi hatujamjua;+Yeye ameinuliwa katika nguvu,+Naye hatapuuza+ haki+ na wingi wa uadilifu.+
7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+
7 Umependa uadilifu+ nawe unachukia uovu.+Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako,+ amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.+