22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;
7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo-dume, na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nimtoe mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya maasi yangu, uzao wa tumbo langu kwa ajili ya dhambi ya nafsi yangu?+
33 na jambo hili la mtu kumpenda yeye kwa moyo wote na kwa uelewaji wote na kwa nguvu zote na mtu kumpenda jirani kama yeye mwenyewe ni bora zaidi kuliko matoleo yote mazima ya kuteketezwa na dhabihu zote.”+