Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+ Luka 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Ingawa hivyo, mambo machache+ ndiyo yanayohitajiwa, au moja tu. Yeye, Maria alichagua fungu jema,+ nalo halitaondolewa kwake.” 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+
42 Ingawa hivyo, mambo machache+ ndiyo yanayohitajiwa, au moja tu. Yeye, Maria alichagua fungu jema,+ nalo halitaondolewa kwake.”
22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+