Yohana 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. Matendo 13:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+
19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+