Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nenda, wakusanye Wayahudi wote waliopo Shushani+ na mfunge+ kwa ajili yangu, msile wala kunywa kwa siku tatu,+ usiku na mchana. Mimi pia pamoja na wanawake wangu vijana,+ nitafunga vivyo hivyo, na baada ya hapo nitaingia kwa mfalme, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Nami nikiangamia,+ na niangamie.”

  • Esta 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe na kuharibiwa.+ Basi ikiwa tungaliuzwa tuwe watumwa+ na wajakazi, ningalinyamaza kimya. Lakini taabu hii haifai ikiwa inamletea mfalme hasara.”

  • Methali 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Fimbo ya majivuno imo katika kinywa cha mpumbavu,+ lakini midomo ya wenye hekima itawalinda.+

  • Methali 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki