Zaburi 112:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Vitu vyenye thamani na utajiri vimo nyumbani mwake;+ ו [Waw]Nao uadilifu wake unasimama milele.+ Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+