Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 basi na usikie ukiwa mbinguni, makao yako,+ nawe usamehe+ na kumpa kila mmoja kulingana na njia zake zote,+ kwa sababu unaujua moyo wake+ (kwa maana ni wewe peke yako unayejua vema moyo wa wanadamu);+

  • Zaburi 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+

      Nawe umwimarishe mwadilifu;+

      Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+

  • Zaburi 44:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Je, Mungu mwenyewe hatachunguza hilo?+

      Kwa maana yeye anajua siri za moyo.+

  • Yeremia 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+ ninazikagua figo,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,+ kulingana na matunda ya matendo yake.+

  • Matendo 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao wakasali na kusema: “Wewe, Ee Yehova, ambaye unajua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua,

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki