Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 55:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Uwavuruge, Ee Yehova, ugawanye ulimi wao,+

      Kwa maana nimeona jeuri na kuzozana jijini.+

  • Mhubiri 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,+ na, tazama! mambo yote yalikuwa ubatili na kufuatilia upepo.+

  • Yeremia 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi.

      “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova.

  • Hosea 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki