Zaburi 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwavuruge, Ee Yehova, ugawanye ulimi wao,+Kwa maana nimeona jeuri na kuzozana jijini.+ Mhubiri 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,+ na, tazama! mambo yote yalikuwa ubatili na kufuatilia upepo.+ Yeremia 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi. “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova. Hosea 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+
14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,+ na, tazama! mambo yote yalikuwa ubatili na kufuatilia upepo.+
3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi. “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova.
2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+