Mwanzo 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+ Mhubiri 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kabla jua na nuru na mwezi na nyota havijawa na giza,+ na mawingu yamerudi, kisha mvua kubwa; Yohana 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli kabisa ninakuambia, Ulipokuwa kijana, ulikuwa ukijifunga kiuno na kutembea huku na huku kokote ulikotaka. Lakini utakapozeeka utanyoosha mikono yako na mtu mwingine atakufunga kiuno+ na kukupeleka usikotaka wewe.”+
10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+
18 Kwa kweli kabisa ninakuambia, Ulipokuwa kijana, ulikuwa ukijifunga kiuno na kutembea huku na huku kokote ulikotaka. Lakini utakapozeeka utanyoosha mikono yako na mtu mwingine atakufunga kiuno+ na kukupeleka usikotaka wewe.”+