7Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+
2 Kwa maana nina wivu juu yenu kwa wivu wa kimungu,+ kwa maana mimi binafsi niliwachumbia+ ninyi mume+ mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi kiadili+ kwa Kristo.+
14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe yeye awapate ninyi mkiwa bila doa+ na bila dosari na mkiwa katika amani.+
4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake;+ kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wale wanaoendelea kumfuata Mwana-Kondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo,