22 Basi ikawa kwamba, wakati hao ngamia walipokuwa wamemaliza kunywa, yule mwanamume akachukua pete ya puani+ ya dhahabu yenye uzito wa nusu shekeli na vikuku+ viwili kwa ajili ya mikono yake, uzito wake ulikuwa shekeli kumi za dhahabu,
13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.