9 Je, inawezekana kuwe wizi,+ uuaji+ na uzinzi+ na kuapa kwa uwongo+ na kumfukizia Baali moshi+ wa dhabihu na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua,+
15 Kwa maana watu wangu wamenisahau+ kwa kuwa wanakifukizia moshi wa dhabihu kitu cha ubatili,+ na kwa kuwa wanawakwaza watu katika njia zao,+ mapito ya zamani za kale,+ kutembea katika barabara, njia ambayo haijatengenezwa ikiwa na mafungu,
2 “Waliwaita.+ Kwa kadiri hiyohiyo walienda mbali kutoka mbele yao.+ Wakaanza kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali,+ nao wakaanza kufukiza moshi wa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+