26 vivyo hivyo pia ningeukataa uzao wa Yakobo na wa Daudi mtumishi wangu,+ ili nisichukue kutoka kwa uzao wake watawala kuwa juu ya uzao wa Abrahamu, Isaka na Yakobo. Kwa maana nitawakusanya mateka+ wao nami nitawahurumia.’”+
26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+