9 wewe, ambaye nimekushika kutoka miisho ya dunia,+ na wewe, ambaye nimekuita kutoka sehemu zake za mbali.+ Na basi nikakuambia, ‘Wewe ni mtumishi wangu;+ nimekuchagua wewe,+ nami sikukukataa.+
10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+ sifa yake kutoka mwisho wa dunia,+ ninyi mnaoshuka kwenda baharini+ na kwa vyote vilivyomo ndani yake, ninyi visiwa na ninyi mnaokaa ndani yake.+