Ufunuo 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mara moja malaika huyo akachukua kile chombo cha uvumba, akakijaza sehemu ya moto+ wa madhabahu na kukitupa duniani.+ Na ngurumo+ zikatokea na sauti na umeme+ na tetemeko la nchi.+
5 Lakini mara moja malaika huyo akachukua kile chombo cha uvumba, akakijaza sehemu ya moto+ wa madhabahu na kukitupa duniani.+ Na ngurumo+ zikatokea na sauti na umeme+ na tetemeko la nchi.+